CLICK HAPA

Monday, May 28, 2012

ZANZIBAR YACHAFUKA MABOMU SIKU NZIMA

Hali isiyokua ya kawaida imevikumba visiwa vya Zanzibar, kanisa  la choma moto watu zaidi ya 46 wakamatwa na jeshi la polisi visiwani huko na mabomu ya machozi yapigwa siku nzima madua yafungwa watu wajifungia ndani. Hali hii imesababishwa  na kuandamana pasipo na kibali. Waandamaji hao waliokua  na madai mawili makuu kwa serikali ya mapinduzi Zanzibar kutaka viongozi wao waliokamatwa wakidai Zanzibar ijitenge na Tanzania bara waachiwe huru bila hivyo watavamia kituo cha polisi kinachowashikilia  na dai la pili ni serikali ya visiwa hivyo kuitisha kura ya maoni kama serikali muungano wa jamuhuri ya Tanzania uendelea au usiendelee. Wanaharakati hao ni wafuasi wa kikundi kimoja cha kidini chenye msimamo mkali katika visiwani vya  Zanzibar.
                BARABARA ZILIFUNGWA NA KUCHOMA MATAIRI
                                                       WAANDAMANAJI




                                           VIONGOZI WA MAANDAMANO HAYO
KANISA LILILOCHOMWA MOTO

No comments:

Post a Comment

border: 0" />

Translate