CLICK HAPA

Saturday, June 30, 2012

PROF: CHAMBO AWAAGA WANACHAMA WA CED CLUB

Professor Chambo ambaye ni mkuu wa chuo mstaafu wa Chuo Kikuu cha Ushirika na Biasahara Moshi jana 29th June. Alikua mgeni rasmi katika shunghuli ya kuwaaga wanachama wa club ya CED chuoni hapo. Prof Chambo aliwaasa vijana hao wanaotarajia kumaliza masomo yao mwaka huu wasiwe na wasiwasi na ajira kwani kozi wanayosomea ya BA-CED ni kozi inayohitaki katika jamii kwani serikali na NGO's za nchini na za kimataifa kila siku zinaanzisha miradi mbalimbali kwaajili ya maendeloo ya jamii. Pia alisema atasaidia NGO's ya KICEF inayosaidia watoto wanaoishi katika mazingira magumu  katika mipango yake iliiweze kujulikana na kufaidisha jamii. KICEF ni zao la vijana CED CLUB wanaomaliza mwaka huu.
MATUKIO KATIKA PICHA CED CLUB - PARTY
PROF- CHAMBO-(KUSHOTO) AKIWA NA RAIS WA CHUO CHA MUCCOBS AMBAYE NI MWENYEKETI WA CED CLUB

                                         VIONGOZI WAPYA WA CED CLUB
                                              CED MEMBER III YEARS 2012



SIMBA YA PANGWA KUNDI LA KIFO MICHUANO YA KAGAME

MASHINDANOYA KOMBE LA KAGAME YANATARAJIWA KUANZA 14 JULY 2012. KWA MWAA HUU TIMU 11 ZITASHIRIKI NA BINGWA MTETEZI SIMBA SPORT CLUB YA TANZANIA IKIWAIMEPANGIWA KATIKA KUNDI LA MAANGAMIZI HUU WAPINZANI WAO WA JADI YANGA WAKIPANGIWA KUNDI RAHISI.NA BINGWA MASHINDANO  HAYA ATAPATA DOLA 30000 NA WA PILI 20000 NA WATATU DOLA 10000.
RATIBA YA KAGAME CUP 2012

Wednesday, June 27, 2012

DR ULIMBOKA ATESWA KARIBIA KUFA

Mzalendo ,mpambanaji na daktari wa binadamu Dr steven ulimboka yu taabani kutokana na mateso aliyosababishiwa na serikali kwa kosa la kudai haki yake na ya madaktari wenzie. sina hakika ni hasira kiasi gani watanzania wengine wanayo kwa kuyashuhudia haya kipindi ambacho wanakabiliwa na magumu ya maisha. tumwombe mungu atupe uvumilivu kama ninaoshindwa kuupata kipindi hiki kigumu.
Siombei yaliyotokea algeria yatokee na tanzania, ila kama mtanzania naiona hatari kubwa ianayoinyemelea taifa letu ya kuweza kuzuka kwa vurugu kutokana na hasira ya wananchi kwa jinsi wanavyoona picha za dr ulimboka aliyeumia vibaya kutokana na kuteswa kupigwa kipindi hiki cha hali ngumu ya maisha nchini. 
kwani kumchokoza binadamu yeyote kipindi ambacho anakabiliwa na hali ngumu ya maisha na amekata tamaa humfanya binadamu apoteze uvumilivu na subira na kufanya jambo lolote baya likiwemo Vurugu. Algeria ilikuwa na ugumu wa maisha kwa muda mrefu uliovumiliwa , lakini kitendo cha kujiteketeza kwa moto mohamed bouaziz kutokana na kunyanyaswa na serikali yao kuliwafanya waalgeria wafikie kikomo cha uvumilivu (threshold ), wasiwe na cha kupoteza hivyo kuamua kuingia mitaani bila kuogopa risasi za moto wala mabomu ya machozi, kushinikiza kung"oka rais boteflika hadi kikaeleweka februari 2011.
Mungu ibariki Africa Mungu ibariki Tanzania.
          DR ULIMBOKA BAADA YA KUOKOTWA NA AKIPELEKWA HOSPITALI





    DR ULIMBOKA ENZI ZAKE ZA UHANAHARAKATI WA KUPIGANIA           MASLAHI KWA MADAKTARI- MOJA YA MIKUTANO WAMADAKTARI

Sunday, June 24, 2012

MUSLIM BROTHERHOOD CANDIDATE WIN- EGYPT

                         MOHAMED MORSI- EGYPT FIRST ISLAMIST PRESIDENT
Mohammed Morsi was declared Egypt's first Islamist president on Sunday after the freest elections in the country's history, narrowly defeating Hosni Mubarak's last Prime Minister Ahmed Shafiq in a race that raised political tensions in Egypt to a fever pitch.
The country's last four presidents over the past six decades have all came from the ranks of the military. This is the first time modern Egypt will be headed by an Islamist and by a freely elected civilian.
Throngs of Morsi supporters in Cairo's Tahrir Square erupted in cheers and dancing when the result was read out on live television. Some released doves with his pictures over the square where the uprising that ousted Mubarak last year was born. Others set off fireworks.
Morsi's spokesman Ahmed Abdel-Attie said words cannot describe the "joy" in this "historic moment."
"We got to this moment because of the blood of the martyrs of the revolution," he said. "Egypt will start a new phase in its history."
The announcement was the culmination of a tumultuous, 16-month transition that was supposed to bring democratic rule, but was tightly controlled and curtailed by the military rulers who took power from Mubarak.
The outcome will not put an end to the main power struggle in the country now between Morsi's Muslim Brotherhood and the military.
The election commission said Morsi won with 51.7 percent of the vote versus 48.3 for Shafiq. Turnout was 51 percent.
Farouk Sultan, the head of the commission, described the elections as "an important phase in the end of building our nascent democratic experience."
border: 0" />

Translate