CLICK HAPA

Monday, June 4, 2012

NAPE APATA MAPOKEZI YA KIFALME SONGEA

KATIBU WA HALAMASHAHURI KUU CCM NAPE  AUTEKA MJI WA SONGEA BAADA YA KUPOELEWA KWA UMATI AMBAO HAUJAPATA TOKEA KATIKA MJI SONGEA. NAPE YUPO KIZIARA  SONGEA KWA AJILI YA KUFUNGUA JENGO LA MABANDA 119  KWA WAFANYABISHARA NDOGONDOGO NA KUBWA.  JENGO HILO LINAMILIKIWA NA CCM LENYE THAMANI YA SHILINGI MILLION 206. PIA HATAFANYA MIKUTANO YA KUIMARISHA CHAMA.
                    WANAWAKE WA MJI WA SONGEA WAKIMKARIBISHA NAPE
                                       NAPE AKIPITA JUU YA KANGA






No comments:

Post a Comment

border: 0" />

Translate