CLICK HAPA

Saturday, June 9, 2012

MATUKIO YA JANGWANI- CCM INAWENYEWE

Mkutano umemalizika kwa amani lakini kwa ujumla katika wazungumzaji wote wa CCM na mawaziri walioongea aliyeonekana kuwagusa watu wengi ni Waziri wa uchukuzi Dr Harisson Mwakyembe na magufuli ambaye alitoa hadi namba yake ya simu 0782242526 kumpigia wakati wowote mwananchi atakapokumbana na adha yoyote kwenye sekta ya usafiri.  pili magufli leo ametoa mpya aongea ziadi ya lugha10 za makabila ya Tanzania. 
VIONGOZI WA CCM WALIOUDHURIA

                  KADI ZA VYAMA PINZANI ZILIZORUDISHWA NA KUJIUNGA NA CCM
 WAZIRI WA MIUNDO MBINU HARRISSON MAKYEMBE AKIMWAGA SERA ZA CCM              ZINAZOTEKELEZWA NA WIZARA YAKE
WANACHAMA NA WAPENZI WA CHAMA TAWALA DAR ES SALAAM WALIJITOKEZA KWA WINGI KATIKA VIWANJA VYA JANGWANI

No comments:

Post a Comment

border: 0" />

Translate